Numbers 14:41-43

41 aLakini Musa akasema, “Kwa nini hamtii amri ya Bwana? Jambo hili halitafanikiwa! 42 bMsipande juu, kwa kuwa Bwana hayupo pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu, 43 ckwa kuwa Waamaleki na Wakanaani watapambana nanyi huko. Kwa sababu mmemwacha Bwana, hatakuwa pamoja nanyi, ninyi mtaanguka kwa upanga.”

Copyright information for SwhKC